Matthew 2:17-18

17 aNdipo lilipotimia neno lililonenwa na nabii Yeremia.
18 b“Sauti ilisikika huko Rama,
maombolezo na kilio kikubwa,
Raheli akilia kwa ajili ya wanawe,
akikataa kufarijiwa,
kwa sababu hawako tena.”

Kurudi Kutoka Misri

Copyright information for SwhKC